Watu Wenye Ulemavu Washirikishwe Kwenye Kila Hatua ya Zoezi la Sensa
Watu wenye Ulemavu kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara na Visiwani wakisikiliza Kongamano la Sensa na Watu wenye Ulemavu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa Mwenyekiti wa Watu wenye Ulemavu Nchini Bw. Diwani Kimaya akizungumza wakati wa Kongamano hilo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka, akiwakaribisha Mkoani Dodoma wanakongamano Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Ndeliananga akizungumza wakati wa Kongamano hilo Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu,Kazi, ajira na watu wenye Ulemavu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu- (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. George Simbachawene ( Mgeni Rasmi) akizungumza kwa niaba ya Waziri Mkuu wakati wa Kongamano la Sensa na Watu wenye Ulemavu Washiriki mbalimbali wakisikiliza kongamano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Tume ya Takwimu imefanya Kongamano kubwa la kuwajengea uwezo na kuwapa ujasiri watu wenye ulemavu...