MHE.SENYAMULE ATEMBELEA MAONESHO YA WIKI YA SHERIA










 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyumule ametembelea maonesho ya wiki ya sheria yalioanza tarehe 22/1 hadi 29/1 wadau walioshiriki kutoa Elimu kwenye maonesho hayo ni 35.

Akizungumza na wadau hao Senyamule amesema niwapongeze kuimili wa mahakama  kwa kazi nzuri wanazoendelea kuzifanya ambazo kwa wiki ya sheria  tumepata nafasi na wanachi kushuhudia   mabadiliko makubwa na mapinduzi mabukwa ambazo kwenye muimili wa sheria tunaon vitabu na vipeperushi vikitafsiliwa kwa lugha ya  Kiswahili.

“tumepata nafasi ya kushuhudia mabanda mengi yakitoa elimu juu ya muimili wa mahaka na watu weng wanpnda suruhishi kama njia ya kwanza ya kutoa matatizo kabla ya kutoa ukumu  na kama kauli mbiu inavosema ya Mahakam sasa tunaneda kutoa suruhishi.

Elimu zitolewe kwa kila mwanachi ili kwakila mtu ajue juu ya sheria ya Mahakam  na hitaongeza juhudi  juu ya kutoa haki na mapatano juu ya kila tatizo mabalo  mwananchi hanapaswa kujua haki yake katika jamii”Amesema senyamule

Pia Mkuu wa Mkoa aliweza kutembelea Mbanda takribani 11 ambayo miongoni mwao yaliweza kuhudhuria kwenye maonesho ayo.

Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

‘WANAWAKE NA SAMIA’ 3000 MKOA WA DODOMA KUPATA MAFUNZO VETA