Uongozi wa shirika la Global Communities Tanzania ulifika ofisi za katibu tawala wa mkoa wa Dodoma Bw Ally Gugu kwa lengo la kuwasilisha na kutambulisha rasmi mradi wa “Pamoja Tuwalishe”. 

Mradi huu kwa kushirikiana na serikali, jamii na wadau una lengo la kuimarisha lishe katika shule za awali na msingi ili kuboresha elimu katika wilaya tatu za mkoa wa Dodoma ambazo ni Chemba, Kondoa na Bahi.
Ma lengo ya mradi huo ni Kuboresha ujuzi wa wanafunzi; Kuboresha afya na Lishe ya wanafunzi;Kuimarisha mifumo ya utekelezaji wa Muongozo wa chakula na Lishe  shuleni.

Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

TRAMPA KANDA YA KATI WAFANYA KIKAO DODOMA

BARAZA LA MITUME NA MANABII WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA DODOMA