SENYAMULE ARIDHISHWA NA UJENZI MNARA WA MASHUJAA











 Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe.Rosemary Senyamule amekagua na kuridhishwa na Kasi ya Ujenzi wa Mnara wa Mashujaa unaojengwa katika Mji wa Serikali Mtumba Jijini Dodoma kwa dhamira ya kuwaenzi Mashujaa mbalimbali waliopigania Taifa la Tanzania.

Senyamule amefanya ukaguzi huo Leo Tarehe 26/06/2023 ikiwa ni ziara ya kikazi ya Maandalizi ya siku ya Mashujaa Nchini inayotarajiwa kudhimishwa Julai 25,Mwaka huu na Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais waTanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan 

Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

‘WANAWAKE NA SAMIA’ 3000 MKOA WA DODOMA KUPATA MAFUNZO VETA