Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule leo tarehe 16 Agosti 2023 amefanya kikao kazi na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na Wakuu wa Wilaya za Dodoma katika ukumbi wa Mkapa Jijini DodomaPamoja na mambo mengine kikao hicho pia kimejadili mikakati ya kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya kimkakati na upatikanaji wa masoko katika Mkoa wa Dodoma.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule leo tarehe 16 Agosti 2023 amefanya kikao kazi na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na Wakuu wa Wilaya za Dodoma katika ukumbi wa Mkapa Jijini DodomaPamoja na mambo mengine kikao hicho pia kimejadili mikakati ya kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya kimkakati na upatikanaji wa masoko katika Mkoa wa Dodoma.
Comments
Post a Comment