Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule leo tarehe 16 Agosti 2023 amefanya kikao kazi na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na Wakuu wa Wilaya za Dodoma katika ukumbi wa Mkapa Jijini Dodoma

Pamoja na mambo mengine kikao hicho pia kimejadili mikakati ya kuhamasisha uzalishaji wa mazao ya kimkakati na upatikanaji wa masoko katika Mkoa wa Dodoma.

Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

‘WANAWAKE NA SAMIA’ 3000 MKOA WA DODOMA KUPATA MAFUNZO VETA