Wadau wa lishe Mkoa wa Dodoma leo Januari 29, 2024 wamefanya kikao cha  robo ya kwanza ya mwaka kikijadili hali ya upatikanaji wa chakula shuleni kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.


Kikao hicho kimekazia umuhimu wa chakula kwa wanafunzi ikiwa ni nguzo muhimu ya kuinua Taaluma ki Mkoa na muarobaini kwa changamoto za utoro shuleni hasa kipindi hiki ambacho Mkoa umeweka Mkakati wa kuinua taaluma.

Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

‘WANAWAKE NA SAMIA’ 3000 MKOA WA DODOMA KUPATA MAFUNZO VETA