RAS MMUYA AMESHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA UTUMISHI WA UMMA





 Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw.Kaspar K.Mmuya ameshiriki  kwenye kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma na uzinduzi wa Mifumo ya Kidigitali iliyosanifiwa na kujengwa na Ofisi ya Rais Utumishi leo tarehe 23 Juni,2024.

Kilele hicho kilifanyika kwenye viwanja vya Chinangali Park Jijini Dodoma.

#dodomafahariyawatanzania #keroyakowajibuwangu


Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

‘WANAWAKE NA SAMIA’ 3000 MKOA WA DODOMA KUPATA MAFUNZO VETA