BENKI YA NMB YAKABIDHI KOMPYUTA 10 KWA MKUU WA MKOA WA DODOMA

 













Na; Happiness E. Chindiye
       Habari - Dodoma RS

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Leo Novemba 28,224 amepokea Kompyuta 10 kutoka Benki ya NMB Mkoani hapa, ikiwa ni sehemu ya Benki hiyo kurudisha kwa jamii (CSR).

Kompyuta hizo zitatolewa kama motisha kwa walimu ambao Shule zao zimefanya vizuri kwenye matokeo ya mitihani  kwa shule za Msingi na Sekondari.

Walioshiriki kushuhudia  makabidhiano hayo ni baadhi ya walimu kutoka Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

 

#keroyakowajibuwangu
#Dodomafahariyawatanzania
#mtiwangubirthdayyangu








Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

TRAMPA KANDA YA KATI WAFANYA KIKAO DODOMA

BARAZA LA MITUME NA MANABII WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA DODOMA