WATUMISHI RS DODOMA WASHIRIKI HAFLA YA CHAKULA CHA PAMOJA NOVEMBA











Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma  leo Novemba 29,2024 wamekutana kula chakula cha pamoja  na kusherekea  kumbukizi za  siku za kuzaliwa kwa Watumishi waliozaliwa mwezi Novemba,ikiwa ni utaratibu wa kawaida uliowekwa na Uongozi kwa kila mwezi.

Kama ilivyo ada,baada ya chakula na kusherekea kumbukizi za kuzaliwa,Watumishi hao walipatiwa mafunzo,ambapo  mada tatu ziliwasilishwa ambazo ni Itifaki,Lishe na Mtindo Bora wa Maisha pamoja na Umuhimu wa Mazoezi kwa Afya.


#birthdayyangumtiwangu 
#dodomafahariyawatanzania
#keroyakowajibuwangu










 

Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

‘WANAWAKE NA SAMIA’ 3000 MKOA WA DODOMA KUPATA MAFUNZO VETA