WATUMISHI RS DODOMA WASHIRIKI HAFLA YA CHAKULA CHA PAMOJA NOVEMBA











Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma  leo Novemba 29,2024 wamekutana kula chakula cha pamoja  na kusherekea  kumbukizi za  siku za kuzaliwa kwa Watumishi waliozaliwa mwezi Novemba,ikiwa ni utaratibu wa kawaida uliowekwa na Uongozi kwa kila mwezi.

Kama ilivyo ada,baada ya chakula na kusherekea kumbukizi za kuzaliwa,Watumishi hao walipatiwa mafunzo,ambapo  mada tatu ziliwasilishwa ambazo ni Itifaki,Lishe na Mtindo Bora wa Maisha pamoja na Umuhimu wa Mazoezi kwa Afya.


#birthdayyangumtiwangu 
#dodomafahariyawatanzania
#keroyakowajibuwangu










 

Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

TRAMPA KANDA YA KATI WAFANYA KIKAO DODOMA

BARAZA LA MITUME NA MANABII WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA DODOMA