DODOMA NA SHAMRASHAMRA ZA KUMBUKIZI YA SIKU YA KUZALIWA YA MHE RAIS .

 











Ikiwa ni muendelezo wa matukio ya kuenzi  kumbukizi ya siku ya  kuzaliwa ya Dkt. Samia Suluhu Hassan,viongozi mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi na Serikali wakiongozwa na Ndg. John Mongella,wamejumuika kumpongeza na kusheherekea.

Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Mikutano makao makuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 27 Januari 2025.











Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

‘WANAWAKE NA SAMIA’ 3000 MKOA WA DODOMA KUPATA MAFUNZO VETA