DODOMA NA SHAMRASHAMRA ZA KUMBUKIZI YA SIKU YA KUZALIWA YA MHE RAIS .

 











Ikiwa ni muendelezo wa matukio ya kuenzi  kumbukizi ya siku ya  kuzaliwa ya Dkt. Samia Suluhu Hassan,viongozi mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi na Serikali wakiongozwa na Ndg. John Mongella,wamejumuika kumpongeza na kusheherekea.

Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Mikutano makao makuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) leo tarehe 27 Januari 2025.











Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

TRAMPA KANDA YA KATI WAFANYA KIKAO DODOMA

BARAZA LA MITUME NA MANABII WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA DODOMA