PBZ WAMTEMBELEA KATIBU TAWALA MKOA WA DODOMA

 







Na.Sofia Remmi.
Habari-Dodoma Rs

Uongozi wa Bank ya PBZ umemtembelea Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma  Bw. Kaspar K. Mmuya ofisini kwake jengo la Mkapa Jijini Dodoma,mapema Februari 19,2025.

Lengo la ziara hiyo ni kusalimia na  kuzungumza kuhusu fursa mbalimbali za kiuchumi zilizopo katika Mkoa wa Dodoma.

Uongozi huo uliambatana na Meneja wa Benki ya PBZ Dodoma Bi. Mwanaharusi Ally na Afisa Mahusiano Abdul Khamis.

#dodomafahariyawatanzania.
#keroyakowajibuwangu.

Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

‘WANAWAKE NA SAMIA’ 3000 MKOA WA DODOMA KUPATA MAFUNZO VETA