PBZ WAMTEMBELEA KATIBU TAWALA MKOA WA DODOMA

 







Na.Sofia Remmi.
Habari-Dodoma Rs

Uongozi wa Bank ya PBZ umemtembelea Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma  Bw. Kaspar K. Mmuya ofisini kwake jengo la Mkapa Jijini Dodoma,mapema Februari 19,2025.

Lengo la ziara hiyo ni kusalimia na  kuzungumza kuhusu fursa mbalimbali za kiuchumi zilizopo katika Mkoa wa Dodoma.

Uongozi huo uliambatana na Meneja wa Benki ya PBZ Dodoma Bi. Mwanaharusi Ally na Afisa Mahusiano Abdul Khamis.

#dodomafahariyawatanzania.
#keroyakowajibuwangu.

Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

TRAMPA KANDA YA KATI WAFANYA KIKAO DODOMA

BARAZA LA MITUME NA MANABII WAMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA DODOMA