PICHANI

 

















Katibu Tawala Mkoa wa Dodoma Bw. Kaspar K. Mmuya Leo Juni 11,2025 ameambana na Viongozi wengine wa kamati ya ulinzi na usalama Mkoa na Wilaya kwa ajili ya maandalizi ya ziara ya Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anaetarajiwa kufanya ziara yake Juni 14 ,2025 kwa ajili kukagua  miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa Jijini hapa.

#dodomafahariyawatanzania
#wekezadodomastawishadodoma
#keroyakowajibuwangu
#mtiwangubirthdayyangu


















Comments

Popular posts from this blog

WALIMU WA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA WATAKIWA KUTIMIZA WAJIBU WAO

WALIMU WATAKIWA KUFUNDISHA UZALENDO SHULENI.

‘WANAWAKE NA SAMIA’ 3000 MKOA WA DODOMA KUPATA MAFUNZO VETA