RAIS SAMIA ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA

Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule aki washukuru na kuwapongeza walezi wanaolea watoto kwenye vituo vya mahitaji maalum wakati alipokwenda kutoa zawadi za mkono wa Eid zilizotolewa na Mhe. Rais Samia kwenye vituo vya Kijiji cha Matumaini na Rahman ‘Orphanage Center Jijini Dodoma Machi 30, 2025 Kiongozi wa Kijiji cha Matumaini Padri Vicent Boselli akizungumzia namna kituo chake kinavyolea watoto wenye maambukizi ya Virusi vya Ukimwi kwa zaidi ya miaka 20 sasa wakati Mhe. Senyamule alipokwenda kutoa zawadi za mkono wa Eid zilizotolewa na Mhe. Rais Samia kwenye vituo vya Kijiji cha Matumaini na Rahman ‘Orphanage Center Jijini Dodoma Machi 30, 2025 Picha juu na chini ni baadhi ya watotyo wanaolelewa kwenye kituo cha KIjiji cha Matumaini walipotembelewa na Mh. Senyamule kwa ajili ya kupewa zawadi za mkono wa Eid zilizotolewa na Mhe. Rais Samia kwenye vituo vya Kijiji cha Matumaini na Rahman ‘Orphanage Center Jijini Dodo...